.

Malaika Lyrics

Malaika, nakupenda Malaika.
Malaika, nakupenda Malaika.
Nami nifanyeje, kijana mwenzio,
Nashindwa na mali sina, we,
Ningekuoa Malaika.
Nashindwa na mali sina, we,
Ningekuoa Malaika.

Pesa zasumbua roho yangu
Pesa zasumbua roho yangu
Nami nifanyeje, kijana mwenzio,
Ningekuoa Malaika.
Nashindwa na mali sina, we,
Ningekuoa Malaika.

Kidege, hukuwaza kidege.
Kidege, hukuwaza kidege.
Nami nifanyeje, kijana mwenzio,
Nashindwa na mali sina, we,
Ningekuoa Malaika.
Nashindwa na mali sina, we,
Ningekuoa Malaika.
Report lyrics
Voices From Heaven (2003)
Jikela Emaweni Vuma Thina Simnqobile Zanele Paradise Road Ahuna Ya Tswanag Le Jesu/Kammatla Many Rivers To Cross/Going Down Jordan/Amen Amazing Grace Thula Baba Sikulandile Malaika Hlanganani Bayete Jerusalem Holy City/Bayete African Dream